WCB president Diamond Platnumz has postponed his much anticipated wedding with Radio Personality Tanasha Donna.
In an Interview with our Correspondent, Platnumz explained that he decided to change his wedding date from February 14 to a later date to be announced, as his wedding is supposed to be graced by his International friends like Rick Ross.

“Majaliwa mwaka 2019 natakiwa nioe , Ndoa yangu ilitakiwa kuwa Februari tarehe kumi na nne lakini tumeipeleka mbele maana ndoa yangu watu wengi wanatakiwa kuja lakini siku hiyo haikukaa poa, kwa sababu watu wengi hawatakuwepo, ndo yangu wanatakiwa waje kina Rick Ross, wasanii niliofanya nao collabo, ndugu, jamaaa na marafiki , I want it to be like a Royal wedding, na kila mtu anatamani kuhudhuria kwa hivyo tumepeleka mbele kidogo lakini kuna kitu nitakifanya on Valentine’s day “said Diamond.


