in ,

Tanzania’s Zuchu Speaks On Her Relationship With Singer Diamond Platnumz

Wasafi records Zuchu has been said to be involved with Diamond Platnumz for months now; but the two WCB artists always prefer maintaining their silence until just recently.

Speaking to during recent interview with Wasafi media; the petite lass distanced herself from the rumors adding that if indeed there was a relationship then their would be some evidence to prove this!

She went on to open up adding;

Kwanza ukiangalia ndani ya WCB hakuwezi kuwa na maneno kama hayo kwa sababu hakuna kielelezo na hio story haina muendelezo. Tunajua watu walivyo wafuatiliaji, trust me kama ningekuwa na any inappropriate relationship na boss, kipo kitu kingeonesha ushahidi. Lakini watu wamebase kwenye vielelezo vya promotion ambayo kama ukingalia wasanii wote duniani wa kike wanaofanya vizuri management zao ziliwekeza kweli kweli. Rihanna ana mwaka wa nne hajaachia nyimbo but we still talking about her ni kwa sababu uekezaji uliofanyika kwake pale ni mkubwa

Brotherly love

For those who continue insisting that the two are secretly seeing each other; Zuchu went on to reveal that she see’s Diamond Platnumz as a big brother who decided to invest in her music career!

Speaking to the popular media house, the lady went on to add:

  Kwa hivyo mi naona badala ya kumpongeza mtu kama boss kwa kuwekeza kwa msichana mdogo kama mimi watu wanataka kutumia ile nafasi kuweka negativity which is not right. Boss wangu hajawai kunivunjia heshima. I’m saying this with all my heart. He’s a brother and a brother indeed. He has never been inappropriate, hajawahi. Ni vitu ambavyo vinanikwaza lakini huwezi kumjibu kila mtu, pengine hivi ni vitu ambavyo mtu akikaa mtaani wakiongelea wenyewe labda wanafurahi. Usimharibie mtu starehe yake

Written by PH

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Tanzanian Singer, Zuchu Reacts To Claims That She Stole Tanasha Donna’s Lyrics For Their ‘Cheche’ Jam

Ghanaian Gospel Singer, Joe Mettle Addresses Rumour Of Marrying His Wife Over Unplanned Pregnancy