WCB President Diamond Platnumz has announced the launch of a new Talent search show dubbed “The Next MVP” that will be airing on Wasafi TV every Friday.
Announcing the new era in the music industry, Diamond stated that the show aims at giving opportunities to undiscovered talents and elevate them to the next level.
“Kama nilivyoahidi mwanzo kuwa leongo kuu la kuanzisha Vyombo, Bidhaa vitu mbalimbali ni kuona ni namna gani naweza kutengeneza Fursa za Kuwashika Mkono, ama kuwakomboa vijana wenzetu mbalimbali wenye uwezo lakini pengine labda hawajathaminiwa, ama kupewa nafasi ya kuonyesha Taaluma walizojaaliwa na Mwenyez Mungu…. Hivyo Ijumaa hii tunazindua Rasmi kipindi kinachoitwa #TheNextMVP kipindi ambacho kitakuwa kina wapa nafasi vijana mbalimbali ambao tunaamini wanauwezo mkubwa na wakipewa Support Watakuwa wawakilishi ama Wapepwrusha bendera vyema wa Sanaa zetu na Taaluma zetu mbalimbali tulizojaaliwa Tanzania… Tafadhali Usikose Kutazama ijumaa hii Saa Mbili na Nusu Usiku ndani ya @WasafiTv … pia nisaidie kuwatag Wana wote ambao Unaamini wanakipaji mtaani ili @wasafitviwaone……. #SanaaImezaliwaUpya#HiiNiYetuSote” shared Diamond
This will be another investment for Chibu Dangote, after establishing a record label that is already doing well on the market with a good number of artistes.


